Kuhusu Sisi
Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha IFM (IFM-WORKERS SACCOS LTD) kilianzishwa na wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) mwaka 1984 na kusajiliwa chini ya sheria ya Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo. Kiliandikishwa na Msajili wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo na kupewa namba ya usajili DSR 4759. Wanachama wake wapo katika kampasi nne ambazo ni Dar es Salaam ambapo ofisi za chama zipo pamoja na matawi yake yaliyopo Dodoma, Mwanza na Simiyu.
Kuwa SACCOS inayotoa huduma bora kwa wanachama wake nchini Tanzania.
Kuinua na kustawisha hali ya uchumi na maisha ya mwanachama.
Kutoa huduma za akiba, mikopo na elimu ya ushirika kwa wanachama.
5 Shaaban Robert Street, Dar es salaam Tanzania
Phone: +255 756 123456
Email: ifmworkerssaccos@gmail.com
Nyumbani
Kuhusu Sisi
Huduma Zetu
Nyaraka
Mawasiliano
Mikopo ya Maendeleo
Mikopo ya Dharura
Mikopo ya Papo Kwa Papo
Mikopo ya Weekend
Mikopo ya Mishahara
Dar es salaam
Dodoma
Mwanza
Simiyu
© Copyright IFM WORKERS SACCOS. All Rights Reserved