Membership
Kwa mujibu wa Msingi wa kwanza (1) wa Ushirika kimataifa na Masharti ya chama ibara ya 10, Uanachama wa IFM WORKERS SACCOS uko wazi kwa mtumishi yeyote yule wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, Taasisi ya umma au binafsi ili mradi tu awe tayari kufaidika na huduma zake na kufuata Sheria, Kanuni, na Masharti ya IFM WORKERS SACCOS limited. Wanachama ni wale wote waliokuwepo tokea kuanzishwa kwake na wanaoendelea kujiunga kwa mujibu wa masharti ya Chama
Ili uweze kuwa mwanachama wa IFM WORKERS SACCOS na kupata faida mbalimbali ambazo mwanachama anafaidika nazo lazima uwe na sifa zifuatazo;
Katika ubunifu wa mazao ya bidhaa za kifedha na Huduma kwa wanachama na wadau wa IFM WORKERS SACCOS wanafaidika na;
Kila mwanachama anaowajibu katika chima, Yafuatayo ni wajibu wa kila mwanachama wa IFM WORKERS SACCOS
Kila mwanachama ana haki katika chama sawa na mwanachama mwengine, zifuatazo ni haki za kila mwanachama wa IFM WORKERS SACCOS
5 Shaaban Robert Street, Dar es salaam Tanzania
Phone: +255 756 123456
Email: ifmworkerssaccos@gmail.com
Nyumbani
Kuhusu Sisi
Huduma Zetu
Nyaraka
Mawasiliano
Mikopo ya Maendeleo
Mikopo ya Dharura
Mikopo ya Papo Kwa Papo
Mikopo ya Weekend
Mikopo ya Mishahara
Dar es salaam
Dodoma
Mwanza
Simiyu
© Copyright IFM WORKERS SACCOS. All Rights Reserved